1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mwanamke mhamasishaji wa teknolojia Kenya

04:28

This browser does not support the video element.

16 Oktoba 2019

Juliana Rotich amewakuza wabunifu chipukizi ambao wameiweka Kenya katika ramani kama waanzlishi wa teknolojia barani Afrika. Amesaidia kutengeneza majukwaa yanayotoa masuluhisho kama vile tovuti ya Ushahidi inayofuatilia majanga, kutoa misaada na zaidi ya hayo, huleta teknolojia karibu kwa watu ambao wasingeweza kuipata. Kutokana na juhudi zake Juiana amewahi kushinda tuzo ya Ujerumani kwa Afrika.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW