1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mwanamke mwendesha trekta na pia mtangazaji wa redio Ghana

03:13

This browser does not support the video element.

16 Oktoba 2020

Kilimo ndiyo kitega uchumi kikuu kwa wakaazi wengi kaskazini mwa Ghana. Hikimitu Kediri ni mtangazaji wa Habari katika redio na pia mkulima wa kwanza wa kike kupata leseni ya kuendesha trekta kaskazini mwa Ghana. Anawahimiza wanawake wengine kama yeye kufanya kilimo.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW