1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mwanasheria afafanua sintofahamu uchaguzi Zanzibar

Elizabeth Shoo10 Februari 2016

Kumekuwepo na maswali kuhusiana na mustakabali wa serikali ya umoja wa kitaifa. Kwa mujibu wa katiba ya Zanzibar vyama vinavyounda serikali hiyo vinapaswa kupata angalau asilimia kumi ya kura.

Mabango ya kampeni Zanzibar
Picha: Getty Images/AFP/D. Hayduk

[No title]

This browser does not support the audio element.

Utata unajitokeza baada ya Chama cha Wananchi CUF, ambacho kina wanachama wengi visiwani humo, kusema hakitashiriki uchaguzi huo.
Awadhi Said ni Rais wa zamani wa Chama cha Wanasheria Zanzibar na anafafanua zaidi juu ya utata uliopo.
Kusikiliza mahojiano bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini.
Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW