1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mwarobaini wa gharama kubwa za matibabu Kenya

01:25

This browser does not support the video element.

Hawa Bihoga
11 Desemba 2023

Gharama kubwa za kulazwa hospitalini nchini Kenya zinaweza kusababisha wagonjwa wengi kutumbukia katika madeni. Lakini watoa huduma nchini humo wanajitahidi kuokoa gharama za matibabu kwa kuwafata wagonjwa majumbani na kutoa huduma za matibabu.

Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Picha: Ashley Cooper/Global Warming Images/dpapicture alliancePicha: Ashley Cooper/Global Warming Images/dpapicture alliance

Kurunzi Afya

DW Kisuaheli inakuletea vidio maalumu kuhusu masuala ya afya. Kila wiki Dkt. Sizya atakuwa akikuelimisha kuhusu mada muhimu zinazuhusu afya yako.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW