Idadi kubwa ya wafanyakazi wa bibi huyo mwenye kiwanda cha kutengeneza uyoga mjini Kigali, nchini Rwanda, ni wanawake. Na wengi wa wanawake hao wanaishi na virusi vya Ukimwi.
Picha: DW/A. Le Touzé
Matangazo
Mwekezaji mwanamke nchini Rwanda amejizatiti kuwapa ajira watu wenye virusi vya Ukimwi
This browser does not support the audio element.
Kusikiliza makala ya Wanawake na Maendeleo bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini