Mwisho wa analogia leo Tanzania
31 Desemba 2012Matangazo
Swali linaloulizwa je watanzania kweli wanafahamu uhamaji huo na je swala hili limekuja wakati muafaka? Kwa kutaka kujua zaidi kutoka kwa raia wa Tanzania Amina Abubakar amezungumza na baadahi ya raia hao kutoka maeneo tofauti ya taifa hilo kwa njia ya simu. Kusikiliza kauli za raia hao bonyeza alama ya kusikiliza masikioni.
Mwandishi Amina Abubakar
Mhariri Josephat Charo