1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mwito kujiunga na Al-Qaeda Afghanistan

6 Machi 2008

DUBAI:

Kiongozi wa kundi la al-Qaeda nchini Afghanistan amewahimiza Waislamu zaidi kujiunga na kundi hilo kupigana vita nchini humo.Mustafa Abu al-Yazid katika tovuti ya wanamgambo wa Kiislamu ameomba msaada wa fedha pia na amesema,majeshi ya Magharibi nchini Afghanistan yanakaribia kushindwa.

Vikosi vya Marekani na vya Jumuiya ya Kujihami ya Magharibi NATO vinapambana vikali na wanamgambo waTaliban na makundi ya al-Qaeda nchini Afghanistan.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW