1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
Migogoro

Mzozo wa Mashariki ya Kati wakaribia mwezi mmoja

01:17

This browser does not support the video element.

6 Novemba 2023

Unakaribia mwezi mmoja tangu kulipozuka vita vya Israel dhidi ya kundi la Hamas katika Ukanda wa Gaza baada ya shambulizi la kushutukiza la wanamgambo wa Hamas. Mashirika ya Umoja wa Mataifa yametoa tamko la pamoja la usitishaji mara moja wa machafuko hayo. Wapalestina takribani 10,000 wameuawa kwa mujibu wa wizara ya afya inayosimamiwa na kundi la Hamas. #kurunzi

Ruka sehemu inayofuata Zaidi kutoka kipindi hiki
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Kurunzi

Vidio ya habari na matukio

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW