1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Na hatimaye soka: AC Milan yaibuka kidedea.

5 Mei 2005

AC Milan imefanikiwa kuingia fainali ya kombe la mabingwa barani Ulaya , Champions League licha ya kufungwa mabao 3-1 dhidi ya PSV Eindhoven ya Uholanzi katika pambano lao la nusu fainali mchezo wa pili jana. Timu hiyo kutoka Milan nchini Itali imenusurika kutokana na sheria ya goli la ugenini kutokana na timu hizo kumaliza michezo yao miwili ikiwa sare kwa kufungana jumla ya mabao 3-3. AC Milan sasa itakumbana na FC Liverpool ya Uingereza katika fainali mjini Istanbul hapo May 25.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW