Nafasi ya Uislamu barani Ulaya
30 Novemba 2011![Sura mpya ya Muislamu barani Ulaya](https://static.dw.com/image/15541833_800.webp)
Matangazo
Oummilkher Hamidou anachambua namna ambavyo jamii za Kimagharibi zinavyoanza kuuchukulia Uislamu katika sura tafauti na ilivyokuwa hapo zamani, huku Waislamu wa Yugoslavia wakiwa kigezo.
Makala: Oummilkher Hamidou
Mhariri: Othman Miraji