1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Nahles mwenyekiti mpya SPD

01:10

This browser does not support the video element.

23 Aprili 2018

Chama cha Social Democratic nchini Ujerumani (SPD) kwa mara ya kwanza ndani ya historia yake ya miaka 155 kimemchaguwa mwanamke kuwa mwenyekiti wake. Andrea Nahles alichaguliwa hapo jana kwa asilimia 66.35 ya kura za wajumbe wa mkutano mkuu wa chama hicho.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW