1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Naibu Waziri Mkuu Musalia Mudavadi wa Kenya ajiuzulu

2 Mei 2012

Nchini Kenya, Naibu Waziri Mkuu Musalia Mudavadi leo amejiuzulu kama Waziri wa serikali za mitaa na kutangaza kukihama chama cha ODM.

Jengo la Bunge mjini Nairobi
Jengo la Bunge mjini NairobiPicha: DW

Mudavadi amesema atawania wadhifa wa rais kupitia chama kipya cha United Democratic Front - UDF. Bw Mudavadi hata hivyo atasalia katika wadhifa wake wa Naibu Waziri Mkuu. Alfred Kiti anayo zaidi kutoka mjini Nairobi.

(Kusikiliza ripoti hiyo bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini)

Mwandishi: Alfred Kiti (Nairobi )

Mhariri: Mohammed Abdul-Rahman

Ruka sehemu inayofuata Gundua zaidi

Gundua zaidi

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW