1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

NAIROBI: Andre achaguliwa mjumbe wa Umoja wa Ulaya nchini Somalia

19 Juni 2007

Umoja wa Ulaya umemteu mjumbe wake maalum nchini Somalia,kusaidia juhudi za kuleta hali ya utulivu katika taifa hilo lililovurugwa kwa vita.Mjumbe huyo ni Georges-Marc Andre aliewahi kuwa msimamizi wa shughuli za umoja huo,nchini Gambia na Burundi.Bw.Andre ambae ni Mbeligiji,atakuwa na makao yake katika mji mkuu wa Kenya,Nairobi.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW