1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

NAIROBI: Wafanyakazi wa Umoja wa Mataifa kuondoshwa Somalia

13 Oktoba 2006

Umoja wa Mataifa unawahamisha wafanyakazi wake wa kigeni nchini Somalia kwa sababu za usalama.Kwa mujibu wa msemaji wa Umoja wa Mataifa katika mji mkuu wa Kenya,Nairobi-kumetolewa vitisho vya kuwaua wafanyakazi hao.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW