NAIROBI: Wafanyakazi wa Umoja wa Mataifa kuondoshwa Somalia
13 Oktoba 2006
Matangazo
Umoja wa Mataifa unawahamisha wafanyakazi wake wa kigeni nchini Somalia kwa sababu za usalama.Kwa mujibu wa msemaji wa Umoja wa Mataifa katika mji mkuu wa Kenya,Nairobi-kumetolewa vitisho vya kuwaua wafanyakazi hao.