1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

NAIROBI: Waislamu waandamana nchini Kenya

31 Agosti 2007

Waislamu nchini Kenya waliandamana mbele ya makao makuu ya polisi mjini Nairobi siku ya Alkhamisi. Waandamanaji hao walikuwa wakilalamika dhidi ya kile walichosema ni kuzuiliwa na kuteswa kwa waislamu wenzao kinyume na sheria,katika hatua ya kupambana na ugaidi ambayo inahimizwa na Marekani.Kwa mujibu wa makundi yanayogombea haki za binadamu,serikali ya Kenya kwa siri imesafirisha Ethiopia washukiwa ugaidi wapatao darzeni kadhaa, kuhojiwa na maafisa wa Kimarekani nchini Ethiopia.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW