1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Nancy Pelosi awasili Taiwan

01:24

This browser does not support the video element.

3 Agosti 2022

Spika wa Bunge la Marekani, Nancy Pelosi, amewasili Taiwan na kukutana kwa mazungumzo na viongozi wa kisiwa hicho ambao ni rais na naibu spika wa bunge. Pelosi mwenye umri wa miaka 82 aliwasili mjini Taipei usiku wa kuamkia leo, akikaidi maonyo na vitisho vikali vilivyotolewa na China.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW