1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

NASA yamvua Wetangula madaraka

20 Machi 2018

James Orengo ameteuliwa kuwa kiongozi wa upinzani katika baraza la Seneti. Kimsingi mtangulizi wake Moses Wetangula ambaye pia ni kinara wa chama cha Ford kinachounda muungano wa upinzani wa NASA amevuliwa madaraka.

Kalonzo Musyoka, Raila Odinga na Moses Wetangula
Picha: SIMON MAINA/AFP/Getty Images

J3 20.03.2018 NASA OUSTS WETANGULA AS MINORITY LEADER_mixdown - MP3-Stereo

This browser does not support the audio element.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW