1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
SiasaUkraine

NATO yajadili jinsi ya kuipatia Ukraine silaha zaidi

01:30

This browser does not support the video element.

15 Februari 2023

Washirika wa Magharibi wanaoiunga mkono Ukraine wanakutana Jumatano ikiwa ni siku ya pili kwa lengo la kuharakisha upelekwaji wa silaha nchini Ukraine ambayo pia inaomba ipatiwe ndege za kivita. Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky, amesisitiza kuhusu ombi lake la ndege za kivita kutoka kwa nchi za Magharibi, wakati ambapo Urusi ikianzisha mashambulizi katika maeneo ya mashariki mwa Ukraine.

Ruka sehemu inayofuata Zaidi kutoka kipindi hiki
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Kurunzi

Vidio ya habari na matukio

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW