1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
SiasaSudan

Nchi kadhaa zaondoa raia wake Sudan

01:21

This browser does not support the video element.

26 Aprili 2023

Meli iliyowabeba zaidi ya watu 1,600 kutoka mataifa 50 waliondolewa nchini Sudan kuepuka machafuko imewasili nchini Saudi Arabia leo ikiwa operesheni kubwa zaidi kufanywa na ufalme huo wa Ghuba tangu kuzuka mapigano mjini Khartoum.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW