1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Nchi za Afrika zaonywa kuhusu kirusi cha Zika

01:47

This browser does not support the video element.

3 Februari 2016

Mtaalamu wa utabibu wa Kenya, Dokta Ruchika Kohli, amesema serikali za Afrika na wizara za afya zinapaswa kuwa katika hali ya tahadhari dhidi ya kuenea kwa kirusi cha Zika, ambacho kimewaathiri mamilioni ya watu huko Amerika.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW