1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Ndege ya abiria yapata ajali Angola

20 Januari 2008

LUANDA: Hakuna alienusurika katika ajali ya ndege ya abiria iliyotokea nchini Angola.Watu wote 12 waliokuwemo katika ndege hiyo wamepoteza maisha yao.Kwa mujibu wa ripoti za vyombo vya habari, ndege hiyo iliripuka baada ya kugonga mlima katika hali mbaya ya hewa.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW