1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

NEW DELHI: Msimu wa masika wasababisha mafuriko India

23 Juni 2007

Mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa nchini India yameua si chini ya watu 39.Katika jimbo la kusini la Andhra Pradesh,hadi watu 35 walifariki katika mafuriko ya ghafula katika kipindi cha saa 24.Si chini ya wakazi 200,000 wamehamishwa maeneo mengine.Vile vile watu 4 walifariki katika jimbo la Kerala.Msimu wa masika umesababisha hasara kubwa na umevuruga usafiri wa matreni na magari.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW