1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

NEW DELHI: Rais wa kike wa kwanza nchini India

21 Julai 2007

Rais mpya wa India ni Bibi Pratiba Patil wa chama tawala cha Congress.Patil ni mwanamke wa kwanza kushika wadhifa huo,baada ya kumshinda mpinzani wake,Bhairon Singh wa chama cha kizalendo cha Kihindu-BJP.Kura zilizosombwa na Bibi Pratiba Patil,ni maradufu ya zile alizopata mhasimu wake Bhairon Singh.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW