1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

NEW YORK: Korea Kaskazini labda ina silaha za kinyuklia

9 Mei 2005

Mkuu wa Shirika la Nishati ya Kinyuklia la Umoja wa Mataifa,Mohamed ElBaradei amesema Korea Kaskazini huenda ikawa ina silaha za kinyuklia.Katika mahojiano yake na televisheni ya CNN,ElBaradei amesema,serikali ya Pyongyang ina madini ya plutonium na miundo mbinu ya kiviwanda inayohitajiwa kutengeneza silaha tano hadi sita za kinyuklia.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW