1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

NEW YORK: Kura rasmi kumchagua mrithi wa Annan

6 Oktoba 2006

Waziri wa nje wa Korea ya Kusini Ban Ki-Moon,ni mgombea pekee aliebakia kuwa mrithi wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa,Kofi Annan.Baada ya Ban Ki-Moon kufanikiwa katika kura ya majaribio kwenye Baraza la Usalama,wagombea wengine wamejitoa katika kinyanganyiro hicho.Siku ya Jumatatu,kura rasmi itapigwa kumchagua mrithi wa Annan.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW