1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

NEW YORK:Daimler Chrysler and Siemens yatajwa katika ripoti ya kashfa.

28 Oktoba 2005

Ripoti ya Umoja wa Mataifa juu ya mpango wa kununua chakula kutokana na mauzo ya mafuta nchini Irak,imelitaja jina la kampuni ya Daimler-Chyrsler na Siemens kuwa miongoni mwa makampuni zaidi ya alfu 2 yaliyohusika na ubabaifu juu ya mpango huo.

Uchuguzi wa Umoja wa Mataifa umeonyesha kwamba makampuni katika nchi 66 yalitoa magendo kiasi cha dola bilioni 1 na nukta nane kwa serikali ya Saddam Hussein.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW