1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

NEW YORK:Kansela Merkel ahimiza juhudi za kupambana na ongezeko la joto

25 Septemba 2007

Kansela wa Ujerumani bibi Angela Merkel ametoa mwito juu ya kupambana na ongezeko la joto duniani. Akizungumza mjini New York kwenye mkutano uliodhaminiwa na Umoja wa Mataifa juu ya suala la hali ya hewa Kansela Merkel amezitaka nchi za viwanda ziwe mstari wa mbele katika juhudi za kupambana na mabadiliko ya hali ya hewa.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW