Ngano za Afrika – Kipindi 05 – Kassi na Kaloo16.03.201116 Machi 2011Kassi na Kaloo – marafiki wasioweza kutenganishwa! Angalau hali ilikuwa hivyo kabla farasi hao wawili wa kupendeza kupandwa na wafalme wawili mahasimu. Watafanya nini wakati vita vitakapozuka kati ya falme zinazopigana?Nakili kiunganishiMatangazo