1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Ni kwa nini Kenya imejitokeza kupeleka polisi wake Haiti?

02:08

This browser does not support the video element.

11 Oktoba 2023

Mahakama ya Kenya imezuia kwa muda mipango ya serikali ya kupeleka maafisa wa polisi nchini Haiti kusubiri kusikilizwa kwa kesi iliyowasilishwa. Wawasilishaji hoja wanasema uamuzi wa kupeleka jeshi ni kinyume na katiba. Kenya ilijitolea kuwatuma polisi wake Haiti, taifa lililoharibiwa na uhalifu wa magenge yenye silaha. Je, ni kwa nini Kenya imejitolea kuwatuma polisi wake Haiti?

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW