1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Niger yafunga anga yake huku wasiwasi ukiongezeka baada ya mapinduzi

02:09

This browser does not support the video element.

7 Agosti 2023

Jeshi la Niger lililompindua Rais Mohamed Bazoum limefunga anga ya nchi hiyo huku hali ya wasiwasi ikiendelea kutanda. Wakati huo huo maelfu ya wafuasi wa jeshi wamejitokeza kuonyesha uungwaji wao mkono kwa Jeshi.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW