1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Nigeria yafunga mpaka na mataifa jirani

02:24

This browser does not support the video element.

15 Novemba 2019

Nigeria imeufunga ghafla mpaka wake wa ardhini na nchi jirani za Benin, Cameroon na Niger, na kupiga marufuku biashara zote za kuvuka mipaka hiyo. Swali linaloulizwa sasa ni ikiwa hatua hiyo itaweza kumaliza biashara ya magendo na ghasia hususan katika eneo la Kaskazini mwa Nigeria.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW