1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Nigeria yamjeruhi Shekau Papo kwa Papo 23.08.2016

01:59

This browser does not support the video element.

Elizabeth Shoo24 Agosti 2016

Jeshi la Nigeria lasema limemjeruhi vibaya kiongozi wa Boko Haram, Abubakar Shekau, Uturuki yashambulia waasi wa IS Syria, raia wa Mali mwenye itikadi kali ya Kiislamu akiri kuharibu majengo ya kale Timbuktu, Mali, na msajili wa vyama vya siasa Tanzania ataka CCM na CHADEMA wafanye mazungumzo.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW