Nini maana ya bure-bilashi na balaa-belua?
29 Juni 2011Matangazo
Magdeline Wafula: "Bure-bilashi ni msemo unaomaanisha "bila sababu yoyote."
Omar Babu: "Bilashi yatokana na neno la Kiarabu "bilaa shain" maana yake bila kitu...."
Prof. Said Ahmed Khamis: "Tumeishi na Waarabu kwa miaka isiyopungua 2000. Ni jambo la kawaida kuwa na athari kubwa ya Kiarabu kwenye lugha na utamaduni wa Kiswahili."
Mtayarishaji/Muongozaji: Othman Miraji
Washiriki/Wataalamu: Omar Babu (Chuo Kikuu cha Cologne), Sauda Barwani (Chuo Kikuu cha Hamburg), Profesa Said Ahmed Khamis (Chuo Kikuu cha Bayreuth) na Magdaline Wafula (Chuo Kikuu cha Eldoret, Kenya)