1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

CCM yapunguza wajumbe wa Kamati Kuu na Halmashauri Kuu

14 Desemba 2016

Chama tawala nchini Tanzania (CCM) kimepunguza idadi ya wajumbe wa Kamati Kuu na Halmashauri Kuu katika juhudi za kupunguza matumizi

Tansania Wahlen John Magufuli
Mwenyekiti wa CCM, Rais John Pombe MagufuliPicha: Reuters

J2.14.12.2016Tansania: CCM - MP3-Stereo

This browser does not support the audio element.

Kikao cha Kamati Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) kinachotawala nchini Tanzania, kimeazimia kupunguza idadi ya wajumbe wa kamati hiyo kutoka 34 hadi 24, na wajumbe wa Halmashauri Kuu kutoka 388 to 158. Nini tafsiri ya mabadiliko haya chini ya uongozi wa mwenyekiti mpya ambaye pia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Pombe Magufuli? Sudi Mnette amezungumza na mchambuzi wa siasa za Tanzania, Jenerali Ulimwengu. Sikiliza mahojiano hapa.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW