1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

NOORDWIJK- NATO kupata askari zaidi kutoka kwa wanachama wake kwa ajili ya Afghanistan

25 Oktoba 2007

Nchi za mfungamano wa kijeshi wa NATO zimekubaliana juu ya kuchangia wanajeshi zaidi kwa ajili ya kutekeleza jukumu la kulinda amani nchini Afghanistan.

Mawaziri wa ulinzi wa nchi za mfungamano huo wamefikia makubaliano hayo kwenye mkutano wao mjini Noordwijk, nchini Uholanzi.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW