1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

OBASANJO KUZURU BERLIN

11 Machi 2005

BERLIN:

Rais Olesegun Obasanjo wa Nigeria,atakuwa na mazungumzo mjini Berlin na Kanzela Gerhard Schröder hapo Machi 17-serikali ya Ujerumani imetangaza leo.

Mazungumzo yao yatahusika na mchango wa Nigeria katika kutatua mizozo ya kimkoa barani Afrika.Nigeria iko usoni klabisa katika Ushirika mpya wa maendeleo ya Afrika (NEPAD).

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW