1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Octopizzo ni kioo cha jamii Kibera

01:22

This browser does not support the video element.

14 Agosti 2018

Kama vijana wengi katika mtaa wa mabanda wa Kibera jijini Nairobi, Henry Ohanga au Octopizzo kama anavyofahamika na wengi alikuwa akiamini kwamba hawezi kufanikiwa maishani. Lakini sasa ni mmoja wa waimbaji mahiri wa mtindo wa Rap afrika Mashariki.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW