SiasaOctopizzo ni kioo cha jamii Kibera01:22This browser does not support the video element.SiasaJacob Safari14.08.201814 Agosti 2018Kama vijana wengi katika mtaa wa mabanda wa Kibera jijini Nairobi, Henry Ohanga au Octopizzo kama anavyofahamika na wengi alikuwa akiamini kwamba hawezi kufanikiwa maishani. Lakini sasa ni mmoja wa waimbaji mahiri wa mtindo wa Rap afrika Mashariki.Nakili kiunganishiMatangazo