Kinara wa upinzani Kenya Raila Odinga ameahirisha tangazo la mkakati wake wa kupinga kushindwa kwake katika uchaguzi, na kuwaacha njiapanda Wakenya kuhusu mgogoro wa kisiasa unaofukuta nchini humo. Watu zaidi ya 300 wauawa katika maporomoko ya matope nchini Sierra Leone. Na kampuni ya usafiri wa anga ya Marekani SpaceX imetuma rekoti ya mizigo angani.