1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Odinga aahirisha tangazo kuhusu uchaguzi

02:09

This browser does not support the video element.

15 Agosti 2017

Kinara wa upinzani Kenya Raila Odinga ameahirisha tangazo la mkakati wake wa kupinga kushindwa kwake katika uchaguzi, na kuwaacha njiapanda Wakenya kuhusu mgogoro wa kisiasa unaofukuta nchini humo. Watu zaidi ya 300 wauawa katika maporomoko ya matope nchini Sierra Leone. Na kampuni ya usafiri wa anga ya Marekani SpaceX imetuma rekoti ya mizigo angani.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW