Ombi la Kuahirishwa kwa kesi ya Kenyatta na Ruto lakataliwa
18 Novemba 2013Matangazo
Viongozi hao wanashtakiwa kwa uhalifu dhidi ya ubinaadamu katika Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu ya ICC, The Hague. Grace Kabogo amezungumza na mchambuzi wa masuala ya kisiasa nchini Kenya, Barack Muluka na kwanza alitaka kujua Jubilee wametumia misingi gani kuzilaumu nchi hizo? Kusikiliza mazungumzo bonyeza alama ya spika ya masikioni hapo chini.
Mwandishi: Grace Patricia Kabogo
Mhariri: Saumu Yusuf