1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

OPCW yakutana kuhusu shambulizi la sumu Douma

01:30

This browser does not support the video element.

16 Aprili 2018

Shirika la kudhibiti silaha za sumu duniani OPCW linakutana kwa dharura mjini The Hague, kujadili shambulio linalodaiwa kuwa la sumu katika mji wa Douma nchini Syria, ambalo limezidisha mvutano kati ya Urusi na mataifa ya Magharibi.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW