Operesheni ya kijeshi Kongo yaingia siku ya pili
21 Januari 2009Matangazo
Operesheni hizo zinaendeshwa kwa pamoja na jeshi la Kongo na lile la Rwanda.Wakati huohuo Spika wa bunge la Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo Vital Kamere ameshutumu vikali kualikwa kwa wanajeshi wa Rwanda nchini mwake.Wanajeshi hao wa Rwanda waliingia mashariki mwa Kongo mnamo siku ya Jumatatu.
Mwandishi wetu Saleh Mwanamilongo kutoka Kinshasa katuletea ripoti ifuatayo.