1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Paka Mtabiri

00:56

This browser does not support the video element.

14 Juni 2018

Paka asiye na uwezo wa kusikia ndiye mtabiri wa mechi za kombe la dunia linaloanza leo Urusi. Katika jukumu lake la kwanza paka huyo mweupe kwa jina Achilles ametabiri kwamba Urusi itaishinda Saudi Arabia kwenye mechi ya ufunguzi Alhamis.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW