1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Papa atembelea mtaa wa mabanda Kenya

27 Novemba 2015

Akiwa katika mtaa wa mabanda wa Kangemi, Papa aliwahimiza viongozi kuhakikisha wakaazi wa mitaa ya aina hiyo wanapata huduma za kimsingi sawa na watu wengine. Aidha, amekemea ufisadi na ukabila.

Papa Francis jijini Nairobi
Picha: Getty Images/AFP/C. de Souza

[No title]

This browser does not support the audio element.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW