1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Papa Francis aongoza mazishi ya Papa Benedict

02:16

This browser does not support the video element.

5 Januari 2023

Kiongozi wa zamani wa kanisa katoliki Benedict wa XVI amezikwa hii leo katika Kanisa la Mtakatifu Petro. Kwa mujibu wa makadirio ya mamlaka za Kanisa Katoliki Duniani Vatican, takriban watu 50,000 wamehudhuria ibada hiyo ya mazishi.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW