1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Papo kwa Papo 05.07.2016

01:30

This browser does not support the video element.

5 Julai 2016

Maafisa wanne wameuawa na watano kujeruhiwa katika shambulio dhidi ya mji mtakatifu wa Madina nchini Saudi Arabia, Kansela wa Ujerumani Angela Merkel asema kujiengua kwa Uingereza katika Umoja wa Ulaya hakutaathiri mchakato wa nchi za Balkan kujiunga na umoja huo, Iraq yaendelea kuomboleza vifo vya mamia walioangamizwa katika shambulio baya lililodaiwa na kundi la IS.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW