1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Papo kwa Papo 23.06.2016

01:40

This browser does not support the video element.

23 Juni 2016

Kura ya maoni yafanyika Uingereza. Wabunge wa chama cha Democratic nchini Marekani washinikiza kupitishwe sheria kudhibiti silaha. Shirika la Afya Ulimwenguni WHO kufanya kampeni ya chanjo dhidi ya homa ya manjano nchini Kongo na Angola.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW