1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
FilamuKenya

Paul Kihuha anaboresha tasnia ya filamu nchini Kenya

04:49

This browser does not support the video element.

28 Machi 2023

Paul Kihuha anawezesha Sanaa ya filamu kuimarika Kenya hasa kwa watengeneza filamu. Jamaa huyu ambaye hakumaliza masomo shuleni hutumia vyuma chakavu kuunda vifaa bora vya filamu katika karakana yake ya nyumbani. Vijana Mubashara 77Asilimia inaangazia zaidi juhudi hizo zake.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW