1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Paul Makonda nje, aingia Aboubakari Kunenge, mkuu mpya wa Dar Es Salaam

02:40

This browser does not support the video element.

3 Agosti 2020

Aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Dar Es Salaam Paul Makonda kwa takriban miaka mitano iliyopita sasa amemkabidhi mkuu mpya wadhifa huo. Makonda aliingia katika siasa lakini pia alishindwa katika kinyang'anyiro cha kuwania tiketi ya chama cha CCM ili kugombea ubunge. Hawa Bihoga na masimulizi zaidi.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW