PEKING:Kimbunga "Krosa chaikumba China"
7 Oktoba 2007Matangazo
Kimbunga hicho kimezikumba sehemu za mashariki mwa China baada ya Mamilioni ya watu kuhamishiwa kwenye sehemu za usalama .
Kimbunga hicho kinachoitwa Krosa kiliuwa watu watano nchini Taiwan.Maafisa wa China wamesema dhoruba hiyo illifikia mwendo wa kilometa 126 kwa sasa.Lakini hakuna habari iwapo kimesababisha madhara nchini China vilevile.