1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

PEKING:Kimbunga "Krosa chaikumba China"

7 Oktoba 2007

Kimbunga kikali ambacho tayari kimesababisha madhara nchini Taiwan leo kimeikumba China kikiwa na mwendo wa kilometa zaidi ya mia moja kwa saa.

Kimbunga hicho kimezikumba sehemu za mashariki mwa China baada ya Mamilioni ya watu kuhamishiwa kwenye sehemu za usalama .

Kimbunga hicho kinachoitwa Krosa kiliuwa watu watano nchini Taiwan.Maafisa wa China wamesema dhoruba hiyo illifikia mwendo wa kilometa 126 kwa sasa.Lakini hakuna habari iwapo kimesababisha madhara nchini China vilevile.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW