Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kati ya mwaka 1982 na 1991, Javier Perez de Cuellar, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 100. Mchambuzi Ahmed Rajab aelezea mwanadiplomasia huyo atakumbukwa vipi.
Picha: Imago/Teutopress
Matangazo
MMT_J2 05.03.2020 Perez de Cuellar dies, how will he be remembered - MP3-Stereo